Rafiki wa karibu wa Jackie Cliff, Chief Rocka amethibitisha taarifa zilisosambaa kuwa msichana
aliyekamatwa na kilo 1.1 ya madawa ya kulevya aina ya Heroin huko Macau,
China ni yeye.
“Amekamatwa kweli,” Chief amesema Chief.
“Nilivyosikia story ni
kwamba ametoka Bongo akapita Thailand baada ya kutoka Thailand akaenda
Macau, Macau ndio akakamatwa.
"Mimi nilijua sababu
↧