Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baada ya Mawaziri kung'olewa.....Je, wakuu wa mikoa na wilaya watapona??...Vipi kuhusu kamati za siasa za mikoa na wilaya??

$
0
0
HATUA ya kujiuzulu kwa mawaziri wanne kutokana na ‘uzembe’ uliojitokeza katika utekelezaji wa Operesheni Tokomeza ni ya uungwana.  Ni heshima kwa kiongozi kuwajibika pale inapotokea anaowaongoza wamefanya uzembe uliosababisha maafa ama athari yoyote kwa taifa. Vifo, adhabu na udhalilishaji waliotendewa wananchi wenzetu si haki hata kidogo na katika hili hatuna maneno rahisi ya kusema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>