Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kilichowaponza mawaziri wa Kikwete chabainikia....Kisiporekebishwa, mawaziri wengi wataendelea kung'oka

$
0
0
MKUU wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, amekerwa na tabia ya watendaji wengi wa serikali kutowajibika ipasavyo na matokeo yake kuwabebesha mizigo mawaziri na Rais.   Alisema chanzo cha wizara nyingi kutofanya vizuri kunasababishwa na mfumo mbaya ulioendekezwa na baadhi ya wakurugenzi,makamishna, makatibu na watendaji walioko chini yao kukosa uzalendo wa kuwajibika kwa wananchi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>