Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Sitavunjika moyo kwa yaliyonikuta...Nitaendelea kuwa kiongozi wa kisiasa na kukitumikia chama changu"...Shamsi Vuai Nahodha

$
0
0
Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha amesema licha ya kuvuliwa uwaziri ataendelea kuwa kiongozi wa kisiasa na kukitumikia chama chake na wananchi bila ya kuvunjika moyo.    Nahodha, ambaye ni Mbunge wa Kuteuliwa ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri na Rais Jakaya Kikwete kutokana na matatizo yaliyotokea katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>