Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi
Vuai Nahodha amesema licha ya kuvuliwa uwaziri ataendelea kuwa kiongozi
wa kisiasa na kukitumikia chama chake na wananchi bila ya kuvunjika
moyo.
Nahodha, ambaye ni Mbunge wa Kuteuliwa ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri na Rais Jakaya Kikwete
kutokana na matatizo yaliyotokea katika
↧