Licha ya kubadili dini na kuwa muislam kisha kupewa jina la Rahma,
staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amesema sasa anatamani kurejea
‘ulokoleni’ na kumrudia Yesu kwa kuokoka.
Akizungumza na gpl hivi karibuni nyumbani kwake
Mwananyamala jijini Dar, msanii huyo ambaye alibadili dini kutoka
ukristo na kuwa muislam baada ya kuolewa na mumewe, Sunday Demonte
alisema anajisikia kurudi
↧