Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Basi la Ally lagongana uso kwa uso na Hiace mkoani Mwanza.....Watu 7 wafariki papo hapo

$
0
0
Watu  saba  wamefariki  dunia  papo  hapo  na  wengine  wengi  inasemekana  wamejeruhiwa  baada  ya  basi  la  Allys linalofanya  safari  zake   kati  ya  Dar  es  Salaam  na  Mwanza  kugongana  uso  kwa  uso  na  Hiace  katika  eneo  la  Buhongwa  mkoani  Mwanza.... Majeruhi  wa  ajali  hiyo  wamekimbizwa    hospitali  ya  Bugando  kwa  ajili  ya  matibabu <!-- adsense -->

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>