NDIYO habari ya ‘mujini’ kwa sasa, kwamba
staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnumz’ na mwandani
wake, mtangazaji wa kituo cha runinga cha DTV, Penniel Mungilwa ‘Penny’
wamemwagana.....
KAMA UTANI, WEMA ATAJWA
Kwa sharti la kutotajwa mahali popote, ‘mtonyaji’ wetu ambaye ni mtu wa
karibu wa wawili hao aliliambia gazeti la Risasi kuwa chanzo cha Diamond na
Penny kuingia
↧