Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Breaking News: Mawaziri 4 wavuliwa nafasi zao usiku huu bungeni

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete leo ametengua uteuzi wa mawaziri wanne kufuatia shutuma nzito dhidi yao katika sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili.  Mawaziri waliopoteza ajira zao usiku huu ni pamoja na Khamis Kagasheki (Maliasili na Utalii), David Mathayo (Mifugo na Uvuvi), Emmanuel Nchimbi (Mambo ya Ndani) na Shamsi Vuai Nahodha (Ulinzi na JKT).   Akizungumza Bungeni Dodoma usiku huu,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles