Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri wa Maliasili na utalii, mh. balozi Khamis Sued Kagasheki atangaza kujiuzulu nafasi yake ya uwaziri.....

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Balozi Khamisi Kagasheki ametangaza nia ya kujiuzulu wadhifa wake dakika chache zilizopita bungeni  mjini Dodoma.Sababu kubwa ya kujiuzulu ni baada ya kusomwa  ripoti ya kamati ya Bunge ikimtuhumu kuzembea na kukithiri kwa vitendo viovu vilivyofanywa na wanausalama wakati wa Operesheni Tokomeza.   Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>