Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watanzania waliowekwa dhamana na vigogo nchini Pakstani kwa dawa za kulevya walia kwa mateso.

$
0
0
  via gazeti la MAJIRA -- Sakata la Watanzania wanaoshikiliwa nchini Pakistan na mtandao unaohusika na biashara ya dawa za kulevya ambao wapo mafichoni nchini humo kama dhamana ya vigogo wanaofanya biashara hiyo nchini, limechukua sura mpya. Taarifa zilizolifikia gazeti hili, zinasema idadi ya watanzania wanaopelekwa nchini humo na vigogo wa biashara hiyo nchini inazidi kuongezeka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>