MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema), anatarajia kuanza ziara ya siku tano mkoani Kigoma, itakayomfikisha katika majimbo mbalimbali ya uchaguzi mkoani Kigoma.
Katibu wa mbunge huyo, Alex Kitumo alisema jana kuwa Zitto atawasili mkoani Kigoma leo ambapo atapokewa Uwanja wa Ndege wa Kigoma kwa maandamano ya wanachama na wapenzi wa mbunge huyo.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo,
↧