Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Comedy haitulipi vizuri, tunadharaulika, waigizaji wenzetu wanatutenga kwa sababu ni masikini"...Kingwendu

$
0
0
Mchekeshaji mkongwe wa Tanzania Rashidi Mwishehe aka Kingwendu amedai kuwa sanaa ya vichekesho Tanzania haiwalipi vizuri wasanii hao.   Akiongea kupitia Hatua Tatu ya 100.5 Times Fm, Kingwendu amesema kutokana na kipato kidogo wanachokipata wasanii hao, hujikuta wakitengwa na wasanii wenzao wa Bongo Movies ambao huingiza kiasi kikubwa cha pesa kwa kucheza movies hizo.   “Kwa kweli

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>