Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtuhumiwa wa mauaji ya padri mushi aachiwa kwa dhamana na mahakama ya Zanzibar

$
0
0
Mahakama Kuu Zanzibar imemuachia kwa dhamana Omar Mussa Makame mwenye mtoto anayetuhumiwa kumuua Padri Evaristi Mushi baada ya kudhaminiwa na wadhamini wawili kwa dhamana ya shilingi laki 5 kila mmoja.<!-- adsense -->

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>