Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwenyekiti wa CCM aliyeuawa na wananchi mkoani mwanza atazikwa leo

$
0
0
MWILI wa Mwenyekiti wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza, Clement Mabina (65) unatarajiwa kuzikwa leo katika eneo la Kanyama, jirani na yalipotokea mauaji yake.  Marehemu Mabina alifariki dunia Jumapili iliyopita baada ya kutokea vurugu kubwa baina yake na wananchi wa kitongoji cha Kanyama kilichopo katika Kata la Ilemela, ambayo alikuwa Diwani wake.   Kabla ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>