Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kituo cha polisi chachomwa moto mkoani Morogoro......Raia wawili na polisi mmoja wauawa wakati wa vurugu hizo.

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Said Mwema.( PICHA ya MAKTABA) ***** Watu watatu, akiwamo askari polisi wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya kuzuka mapambano kati ya polisi na raia katika Kijiji cha Igwati, Tarafa ya Malinyi Wilaya ya Ulanga, Morogoro.    Diwani wa Kata ya Malinyi, Said Kila aliwataja waliofariki dunia kuwa ni Leon Chikwita, Andrew Likomoka na Edson

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>