Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ray C anatafuta mwanaume mwaminifu wa kumuoa.....Kama upo single na unapenda awe mkeo basi bofya hapa

$
0
0
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameibuka na kusema kuwa anahitaji mume anayemzidi umri kwa miaka kumi.    Akizungumza hivi karibuni kwenye kituo kimoja maarufu cha runinga, Ray C alisema anahitaji mwanaume mtu mzima anayemzidi miaka kumi, anayejitambua na asiwe mwanamuziki kwani anaamini akiwa na mtu kama huyo uhusiano wao utakuwa mzuri kuliko ule wa awali

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles