Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

TANZANIA YADAI KWAMBA VITISHO VYA WAASI WA M23 HAVIINYIMI USINGIZI HATA KIDOGO

$
0
0
Msemaji wa JWTZ, Kanali Kapambala Mgawe Dar es Salaam. Tanzania imesema vitisho vinavyoendelea kutolewa na waasi wa M23 wanaopigana Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), haviinyimi usingizi.   Kauli ya Tanzania inakuja huku kukiripotiwa kuwapo kwa mapigano makali baina ya vikosi vya Serikali waliopambana na waasi hao, ambao wameanzisha tena harakati ya kuliteka Jimbo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>