Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watanzania maskini wafikia milioni 4.2

$
0
0
Ripoti mpya iliyotolewa na Benki ya Dunia (WB) inaonyesha Watanzania milioni 4.2 wanaishi chini ya mstari wa umaskini kwa kupata Sh886 kwa siku.    Ripoti hiyo inabainisha kuwa Watanzania hao ambao wanaishi mijini na vijijini, wanapata Sh26,000 kwa mwezi, ambayo ni sawa na Sh866 kwa siku.   Akizindua Toleo la Nne la Taarifa ya Hali ya Uchumi nchini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>