Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanamke abakwa na kuchomekwa chupa za soda katika sehemu zake za siri na kisha kunyongwa huko Chalinze

$
0
0
   Mwanamke mkazi wa Chalinze, Mkoa wa Pwani, Moshi Rashid (43) amefanyiwa unyama uliopitiliza na watu wasiojulikana baada ya kumbaka na kumnyonga...   Tukio hilo la kutisha lilijiri usiku wa Desemba 7, mwaka huu Chalinze Kwamwarabu ambapo mwanamke huyo alikwenda kujumuika na ndugu na majirani katika mkesha wa ngoma ya kuwatoa wari siku ya Jumapili.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles