MSANII
wa muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amejikuta katika wakati
mgumu baada ya kuandika juu ya uzushi wa kifo cha msanii mkongwe, Said
Ngamba ‘Mzee Small’ kupitia mtandao wa Instargram.
Shilole ambaye baada ya kugundua kuwa hakuwa sahihi kuandika juu ya
kifo hicho kwani haikuwa kweli, alilazimika kukanusha na ndipo akaanza
kuporomoshewa ‘mvua’ ya matusi.
Baadhi ya
↧