Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha za majeruhu katika basi la Burudani lililoua watu 12 na kujeruhi 55 -Handeni Tanga

$
0
0
Basi la Burudani baada ya ajali leo Wilaya ya Handeni, Tanga. Hospitali ya wilaya ya Korogwe. Majeruhi wakipatiwa matibabu. Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto) akiangalia mmoja wa majeruhi akipatiwa matibabu. Manesi wakiendelea na matibabu kwa majeruhi. Mmoja wa majeruhi akiwa amelazwa kwenye benchi. Wananchi wakiwa eneo la Hospitali.   Basi la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles