Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

'Kama itatokea leo hii nikavuliwa uwaziri mkuu, binafsi nitafurahi sana kwa kuwa kazi hii ni mzigo mkubwa"....Waziri mkuu ameliambia bunge leo asubuhi

$
0
0
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameliambia Bunge muda mfupi uliopita  kwamba kama ikitokea Rais akamng'oa katika nafasi yake ya uwaziri mkuu, yeye  atafurahi sana  kwa kuwa kazi anayoifanya ni mzigo mkubwa. " Kama ningeambiwa LEO ningeondolewa katika nafasi hii, basi dada Rukia mimi ningefurahi kwa kuwa ningekuwa nimetua mzigo. "Dada Rukia, hii kazi huombi, Rais anaangalia na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>