Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Familia ya Mzee Small yakanusha taarifa za uongo zinazodai kwamba amefariki dunia usiku wa kuamkia leo

$
0
0
  Ni mastaa zaidi ya 10 wa Tanzania ambao wamezushiwa kifo ndani ya mwaka 2013 na stori zote zikawa za uongo baadae, miongoni mwao ni Mwasiti na Mr Blue.  December 10 2013 kuanzia saa nne usiku taarifa zilezile za kuzushiwa kifo zimemuangukia mwigizaji mzee Small ambae ni kweli kwa kipindi kirefu amekua akiugua.  Hii  ni  kauli  ya  msanii  huyo  baada  ya  kutembelewa  na Millard Ayo 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>