Kitendo alichofanyiwa mwanamuziki wa Bendi
ya FM Academia ya jijini Dar anayejulikana kwa jina moja la Flora
alfajiri ya kuamkia Desemba 8, mwaka huu ni kibaya katika jamii ya
Kitanzania.
Flora akiwa amepata kinywaji ili kuchangamsha mwili wake alijikuta
akipigwa na vijana wawili wanaofanya kazi ya kuendesha Bajaj akiwa
amewakodi kwa ajili ya kurudi nyumbani kwake.
Tukio hilo
↧