MWANASHERIA wa Mhe Zitto Zuberi Kabwe (Mb), Dr. Kitila Mkumbo na Samson
Mwigamba, Ndugu Albert Msando, atazungumza na wahariri wa vyombo vya
habari katika Hoteli ya Serena leo tarehe 11/12/2013 kuanzia saa nne na
nusu asubuhi (saa 4.30 asubuhi)
Dhima ya mkutano huu itakuwa
kutoa ufafafunuzi juu ya mashitaka 11 na majibu yake ambayo Mhe. Zitto
Kabwe na washitakiwa wenzake walipewa na
↧