Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zitto Kabwe leo atajibu mashitaka yake 11 anayotuhumiwa na CHADEMA...... Mashitaka hayo yatajibiwa na mwanasheria wake mbele ya waandishi wa habari

$
0
0
  MWANASHERIA wa Mhe Zitto Zuberi Kabwe (Mb), Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba, Ndugu Albert Msando, atazungumza na wahariri wa vyombo vya habari katika Hoteli ya Serena leo tarehe 11/12/2013 kuanzia saa nne na nusu asubuhi (saa 4.30 asubuhi) Dhima ya mkutano huu itakuwa kutoa ufafafunuzi juu  ya mashitaka 11 na majibu yake  ambayo Mhe. Zitto Kabwe  na washitakiwa wenzake walipewa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles