Mshindi wa shindano la tano la Project fame Mkenya Ruth Matete
ameomba radhi kutokana na vazi alilovaa wakati akiimba kwenye fainali za
shindano hili mwaka huu, fainali ambazo zilifanyika weekend iliyopita
Nairobi Kenya...
Ruth ambae ni kiongozi wa timu ya kusifu na kuabudu kwenye kanisa la
House of Grace, aliomba msamaha kupitia page yake ya twitter kwa kile
kinachoonekana na
↧