Mbunge
wa Vunjo, Agustine Mrema ( TLP), amesema ameamua kugawana mshahara
wake na wananchi wa Vunjo kwa kuwapa mitaji ya biashara kinamama na
vijana wa jimbo hilo ili kuendeleza biashara zao na watamrejeshea baada
ya nwaka mmoja.
Mrema aliyasema hayo wilayani Moshi wakati akigawa fedha kwenye vikundi
vya wajasiriamali na kusema amekuwa akifanya hivyo kila mwaka, lakini
wananchi
↧