Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 1,475...Akina nani hao?? ..BOFYA HAPA

$
0
0
  Katika kuadhimisha miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 1,475.   Taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh. Emmanuel Nchimbi imesema wafungwa watakaonufaika na msamaha huo wa rais ni wale wagonjwa wa Ukimwi, kifua kikuu na saratani ambao wako kwenye hali mbaya. Wengine ni wazee wenye umri zaidi ya miaka 70 walioingia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>