STAA wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’
amenusurika kubakwa na vijana wa kihuni nchini Kenya maarufu kama
machokoraa.
Tukio hilo lilitokea pande za Mombasa nchini Kenya
wakati nyota huyo alipokuwa akirekodi video ya wimbo wake uitwao The Gal
Bladder ambapo vijana hao walikatisha shughuli nzima na kuanza
kumkimbiza Baby Madaha.
“Daah! Ilikuwa noma,
↧