Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Nchi hii haina mmiliki na kila mtu ana haki ya kwenda popote ....Lazima niende Kigoma mjini, mkinipiga hiyo ni mipango ya Mungu"....Dr. Slaa

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema wanaodai asikanyage Kigoma Mjini wanapoteza muda wao kwani hatishwi wala haogopi na hata ikitokea amepigwa risasi na kufa Mwenyezi Mungu atakuwa ameridhia hivyo. Ametoa  msimamo huo jana wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Malumba Jimbo la Kasulu Mjini kwenye mkutano wa hadhara. “Kama ni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>