Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tanzania yatimiza miaka 52 ya uhuru leo

$
0
0
  Tanzania  leo inaadhimisha miaka 52 ya uhuru katika sherehe zitakazofanyika kitaifa katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, mgeni rasmi atakuwa Rais Jakaya Kikwete ambaye atakagua gharide la askari wa mvikosi vya ulinzi na usalama. Aidha, sherehe hizo zitapambwa na halaiki, sarakati, vikundi mbalimbali vya burudani zikiwamo ngoma za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>