Ziara ya Katibu
Mkuu wa Chadema, Dk. Willbroad Slaa, imekumbwa na vurugu wilayani
Kibondo baada ya vijana kuingilia mkutano wake wa hadhara wakiwa na
mabango.
Vurugu hizo zilisababisha vijana 12 kutiwa mbaroni na polisi.
Mabango hayo
yalikuwa yakipinga hatua iliyochukuliwa na Kamati Kuu (CC) ya Chadema
kumsimamisha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.
Vijana hao wakike
↧