Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Taarifa kamili ya maandamano yakumpinga Dr Slaa mkoani Kigoma yaliyofanyika jana ambapo bendera na kadi za CHADEMA zilichomwa moto

$
0
0
Ziara ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbroad Slaa, imekumbwa na vurugu wilayani Kibondo baada ya vijana kuingilia mkutano wake wa hadhara wakiwa na mabango.   Vurugu hizo zilisababisha vijana 12 kutiwa mbaroni na polisi. Mabango hayo yalikuwa yakipinga hatua iliyochukuliwa na Kamati Kuu (CC) ya Chadema kumsimamisha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.   Vijana hao wakike

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles