Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha wageni
wakati aliposimama kwa muda katika Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo
Kenyatta jijini Nairobi akiwa njiani kurejea nyumbani baada ya
kuhudhuria mkutano unaohusu Amani na usalama na ushirikiano wa kiuchumi
kati ya Bara la Africa na Ufaransa.Kulia aliyesimama ni Waziri wa Mambo
ya Nje wa Kenya Balozi Amina Mohamed na kushoto ni
↧