Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Meli ndogo ya mizigo yazama kilwa masoko....mtu mmoja hajulikani aliko

$
0
0
Mtu mmoja aliefahamika kwa Jina la Nice Mtega fundi mkuu wa Meli ndogo ya mizigo iitwayo MV MERCI II inayomilikiwa na Semuhungu Shingiro anahofiwa kufa maji baada ya kutoweka toka kuzama kwa meli hiyo katika bandari ya Kilwa masoko.    Akiongea na mwandishi wetu, meneja wa Bandari ya Kilwa, Bw. Iddi Omary,  alieleza kuwa Meli hiyo iliyofunga gati jana jioni ikitokea songosongo na  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>