Msajili wa vyama
vya siasa nchini Bw Fransis Mutungi amewataka wananchi wa Mkoa
wa Arusha na watanzania kwa ujumla kuepuka kuingiza ushabiki
kwenye siasa kwani kufanya hivyo licha ya kuwa chanzo cha
kuhatarisha amani wanaharibu lengo la fani hiyo ambayo ina
umuhimu na faida kubwa katika jamii kama taratibu na misingi
yake ikifuatwa na
↧