MWANDISHI wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo
Saro ambaye hivi karibuni alikumbwa na madhila ya kupigwa risasi na
kujeruhiwa vibaya na mzazi mwenzie, kwa sasa afya yake imeimarika na
kurejea kazini.
Kamera yetu iliweza kumkamata katika mmoja ya mkutano wa waandishi wa habari wakati akiuliza swali.
Mmoja
ya wafanyakazi wenzake ambaye hakupenda kuwekwa wazi jina
↧