Kuna watu wamekuwa wakipata hasara katika makampuni yao au hata watu
binafsi kutokana na kuuza kompyuta zao kwa watu wengine .
Uuzaji wa
kompyuta bila kuisafisha umeawafanya watu wengi kuibiwa kumbukumbu zao
za siri bila wao kufahamu na kumbukumbu hizo zinapoangukia kwenye mikono
ya watu wabaya inakuwa hasara kwa aliyeuza kompyuta hiyo.
Je Unataka kuuza kompyuta yako na kununua mpya,
↧