Muigizaji wa filamu, Jacqueline Wolper ameponea chupuchupu kupoteza uhai baada ya gari lake kugonga ukuta na kubomoa matanki makubwa ya
maji ambayo kama yangeangukia gari yake ingekuwa ni story nyingine.
Wolper ameshare mkasa huo kwa mashabiki wake wa Instagram na kuweka picha inayoonesha mantenki ya maji yaliyobomoka.
“Dah kuzaliwa cku moja na kufa ni cku moja nando
↧