Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dk Slaa apokewa kwa mabango ya kumpinga Mkoani Kigoma..Wamtaka yeye na Mbowe wajiuzulu.

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Wilbrod Slaa amepokewa kwa mabango katika mkutano wake wa hadhara wilayani Kakonko, Kigoma lakini akawaambia waliofanya hivyo kuwa chama chake hakitayumbishwa huku akiwataka wanaosimama na mabango kumtetea Zitto Kabwe kung’oka naye ndani ya chama.  Dk Slaa yuko mkoani Kigoma ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku 11

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>