Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk
Wilbrod Slaa amepokewa kwa mabango katika mkutano wake wa hadhara
wilayani Kakonko, Kigoma lakini akawaambia waliofanya hivyo kuwa chama
chake hakitayumbishwa huku akiwataka wanaosimama na mabango kumtetea
Zitto Kabwe kung’oka naye ndani ya chama.
Dk Slaa yuko mkoani Kigoma ikiwa ni sehemu ya
ziara yake ya siku 11
↧