Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Siku ya mazishi ya mzee Nelson Mandela ni tarehe 15 mwezi huu....Obama, Bill Clinton, David Cameron wathibitisha kuhudhuria

$
0
0
Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma ametangaza mazishi ya Nelson Mandela yatafanyika siku ya Jumapili, Desemba 15 mwaka huu kijijini kwake Qunu, katika jimbo la Eastern Cape, Afrika Kusini.   Rais Zuma ametangaza siku 5 za maombolezo kitaifa na bendera zitapeperushwa nusu mlingoti katika muda wote huo. Na ameitangaza siku ya Jumapili ya Desemba 8, 2013 kuwa siku maalumu ya kitaifa ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles