MSANII filamu na muziki wa kizazi kipya wa Tanzania Baby Joseph
Madaha maarufu kwa jina la Baby Madaha amesema kwamba msanii mwenzake wa
muziki nchini,Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platinumz si
msanii bali ni mfanyabiashara ya ngono.
Madaha amesema kwamba Diamond si mwanamuziki na kwamwe huwezi
kumlinganisha na msanii kama Barnaba Boy, anayefanya muziki kama sanaa
↧