Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Diamond si msanii wa muziki bali ni msanii wa ngono anayefanya biashara ya muziki kupitia mapenzi."...Baby Madaha

$
0
0
  MSANII filamu na muziki wa kizazi kipya wa Tanzania Baby Joseph Madaha maarufu kwa jina la Baby Madaha amesema kwamba msanii mwenzake wa muziki nchini,Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platinumz si msanii bali ni mfanyabiashara  ya  ngono.   Madaha amesema kwamba Diamond si mwanamuziki na kwamwe huwezi kumlinganisha na msanii kama Barnaba Boy, anayefanya muziki kama sanaa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>