HATIMA ya Mbunge wa Urambo Magharibi Juma Kapuya (CCM), anayetuhumiwa
kutishia kumuua binti anayedaiwa kumbaka, amerejea nchini jana akitokea
nchini Sweden, huku Jeshi la Polisi likikwama kumtia mbaroni kama
lilivyokuwa likitamba.
Wakati mbunge huyo akiwasili nchini na kupokewa na kusindikizwa na
wapambe wake, Bunge limeridhia kukamatwa kwake kwani tuhuma
zinazomkabili ni za jinai
↧