Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yabariki TANESCO kupandisha bei za umeme....Naibu waziri adai kuwa atakayeshindwa kumudu gharama hizo basi atumie kibatari

$
0
0
 Naibu Waziri wa umeme, Mh George Simbachawene, amesema kwamba serikali imekubali TANESCO waongeze gharama za umeme kwa 68% kama walivyokuwa wameomba.   Simbachawene ameitoa  kauli hiyo wakati akiongea katika kipindi cha Kumepambazuka kupitia Radio One leo asubuhi.  Amesema kwamba hata kama TANESCO wakiongeza gharama za umeme hadi kufikia Tsh 800 kwa unit bei hiyo ni nafuu kuliko

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>