Zaidi ya watoto 60
wanadaiwa kutekwa na kufichwa katika handaki lililopo kwenye msitu wa
Mabwepande, Wilaya ya Kinondoni ,Dar es Salaam, ambalo ndani yake kuna
jengo kubwa lenye vyumba.
Utekaji huo unadaiwa kufanywa na raia wa
kigeni (Wazungu), wakishirikiana na Watanzania ambapo watoto hao
hufungiwa katika vyumba hivyo, kuteswa, kulawitiwa na kubakwa.
Mtoto Emmanuel Robert (11)
↧