Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maombi ya TANESCO kupandisha bei ya umeme kutoka sh 198 mpaka 332 kwa uniti moja yapokelewa kwa hisia tofauti

$
0
0
Maombi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ya kupandisha bei ya umeme, yamepokewa kwa hisia tofauti za kuungwa mkono na pia kupingwa. Waungaji mkono maombi hayo ni pamoja na Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Kessy aliyesema kulingana na changamoto zinazolikabili shirika hilo, bei ya umeme iongezwe ila kwa kuzingatia kutoa huduma zinazolingana na gharama wanazotoza. Hata hivyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>