Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwasisi wa CHADEMA ndugu Edwin Mtei adai kuwa chama chake kitaendelea kuwafukuza wasaliti bila kujali umaarufu wao.

$
0
0
Mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edwin Mtei amesema kuwa chama hicho kitaendelea kuwafukuza wote wanaokihujumu huku akieleza kwamba, anaunga mkono kuvuliwa uongozi kwa Zitto Kabwe na Dk Kitila Mkumbo.    Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwananchi, nyumbani kwake jana, Mtei aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu (BOT) na Waziri wa Fedha katika utawala wa awamu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>