Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sekondari ya Iliboru yafungwa kwa hofu ya kuchomwa moto na wanafunzi

$
0
0
SHULE ya Sekondari ya Ilboru, jijini Arusha imefungwa kwa muda usiojulikana kuanzia leo baada ya kuwepo hofu ya kuchomwa moto. Uchunguzi wa madai ya shule hiyo kuchomwa moto, unaendelea kufanywa huku ikielezwa kwamba wanafunzi wanne wanahojiwa na polisi wilayani Arumeru ili wasaidie kubaini ukweli juu ya madai hayo. Wanafunzi wengine 10 inadaiwa wamepewa barua za kusimamishwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>