VIKOSI vya wanajeshi vya Serikali ya Rwanda vyenye silaha za kivita,
sasa vimesogezwa katika eneo la mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Taarifa ya kusogezwa kwa vikosi hivyo
mstari wa mbele katika eneo la mpakani, imetolewa jana na Jumuiya ya
Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).Katika taarifa yake hiyo,
SADC imeeleza wasiwasi wake kuhusu hatua ya Rwanda kusogeza
↧