Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Dk. Slaa aelekea Mbeya kumsafisha Sugu

$
0
0
  KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), Dk. Willbroad Slaa, leo anatarajia kuongoza mapokezi makubwa ya kumpokea Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’. Mbunge huyo anafanyiwa mapokezi hayo, ikiwa ni siku tisa tangu kutokea kwa vurugu kubwa bungeni, baada ya Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai kuamuru Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, kutolewa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles