Waziri wa uchukuzi Dkt. Harrisoni Mwakyembe
amebaini wizi wa mafuta katika boya la mafuta mjimwema na kuagiza
maskari wa usimamizi wa bandari Tanzania kuwakilisha majina ya wahusika
ndani ya siku mbili. Mwakyembe ameyasema hayo wakati akizungumza na
wafanyakazi wa mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania (TPA) na
kulaani kitendo cha baadhi ya watu kutoboa bomba hilo na kuunganishia
↧